Isaiah 55:3-4

3 aTegeni sikio mje kwangu,
nisikieni mimi, ili nafsi zenu zipate kuishi.
Nitafanya agano la milele nanyi,
pendo la uaminifu nililomwahidi Daudi.
4 bTazama, nimemfanya kuwa shahidi wa mataifa,
kiongozi na jemadari wa mataifa.
Copyright information for SwhNEN